• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Idadi ya wanyama pori duniani huenda kupungua kwa theluthi mbili hadi kufikia mwaka 2020

    (GMT+08:00) 2016-10-28 10:38:31

    Shirika la kimataifa la ulinzi wa wanyamapori WWF limeonya katika ripoti mpya kuwa idadi ya wanyama pori duniani itapungua kwa theluthi mbili hadi kufikia mwaka 2020, kutokana na vitendo vya binadamu. Ripoti hiyo inasema idadi ya samaki, ndege, wanyama, amfibia na wataambazi imepungua kwa asilimia 58 kati ya mwaka 1970 na mwaka 2012. Ripoti imesema tishio kwa uwepo wa viumbe linatokana moja kwa moja na shughuli za binadamu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako