• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mark Lawrenson ataka Gerrard kupewa mkataba na Liverpool

    (GMT+08:00) 2016-11-17 09:38:49
    Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool Mark Lawrenson amesema klabu hiyo inastahili kumpatia mkataba Steven Gerrard kama mchezaji na meneja akisema jambo hilo litakuwa bora zaidi.

    Gerrard, 36, anaondoka klabu ya LA Galaxy ya New York ambayo hucheza ligi ya MLS. Lawrenson, anapendekeza Gerrard 'kujiunga na timu ya Liverpool' na kutumiwa kama mkufunzi katika timu hiyo.

    Amesema litakuwa jambo muhimu kumuweka mchezaji huyo karibu na klabu hiyo, kwa sababu hatachukuliwa kama tishio na Klopp akiwa kwenye benchi la kiufundi. Gerrard alitumikia kwa muda kama mkufunzi wa timu ya Liverpool ya vijana wenye umri chini ya miaka 16 mwaka 2015 na aliifurahia kazi hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako