• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uwekezaji wa nje wa China ni muhimu kwa uchumi wa dunia

    (GMT+08:00) 2016-12-08 16:58:47

    Wataalam wanaohudhuria mkutano wa Boao kuhusu Asia wamesema, uwezo wa China wa kuwekeza katika nchi za nje utakuwa muhimu katika kuokoa uchumi wa dunia.

    Baada ya kipindi cha kushuka kutokana na mgogoro wa kifedha duniani, uwekezaji wa moja kwa moja duniani umefufuka na kufikia dola za kimarekani trilioni 1.7 mwaka jana.

    Mkurugenzi wa idara ya Asia katika kampuni ya ushauri ya PricewaterCoopers ya Australia Andrew Parker amesema, ufufukaji huo umetokana na kiasi kikubwa cha msukumo wa China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako