Mchezaji wa zamani wa vilabu vya Manchester City na Manchester United, Carlos Tevez ambaye hivi sasa ana miaka 32 amefunguka kuhusu uzushi ambao ume enea kuwa amestaafu soka. Amesema kwamba yeye hana mpango wa kumalizia soka yake hapa nchini China na wanaotoa taarifa hizo ni wazushi. Tavez kwa sasa anakipiga katika klabu ya Boca Juniors ya nchini Argentina.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |