Mkutano wa 5 wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la awamu ya 12 la China utafunguliwa tarehe 3 Machi hapa Beijing.
Ajenda kuu za mkutano huo ni pamoja na kusikiliza na kujadili ripoti ya kazi za kamati ya kudumu ya Baraza hilo, ripoti ya kazi za serikali na ripoti na miswada mbalimbali husika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |