Real Madrid Juzi walipaa kileleni mwa ligi kuu ya Hispania (La Liga) baada ya kuichapa 2-1 Athletic de Bilbao Ugenini huko Estadio San Mames.
Bao za Real zilifungwa na Karim Benzema na Casemiro katika Dakika za 25 na 68 huku la Bilbao likipachikwa na Aduriz Dakika ya 65.
Mchezo mwingine ulichezwa jana kati ya Barcelona na Vallencia, Barcelona imeifunga Valencia magoli 4-2. Mabao ya Barcelona
yamefungwa na Louis Suarez goli 1, Leone Messi magoli 2 na Andre Gomes goli 1. Huku Loanee Mangala na Munir El Haddadi wakiifungia Valencia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |