• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan Benki Kuu ya Sudan imetangaza sera mpya za kununua na kuuza nje dhahabu.

    (GMT+08:00) 2017-03-27 19:41:48

    Benki Kuu ya Sudan na Wizara ya Madini imetangaza sera mpya za kununua na kuuza nje dhahabu.

    Sera mpya, ambayo tayari imeanza kufanya kazi, itaruhusu sekta binafsi kuuza nje asilimia 50 ya dhahabu wanayonunua, na kuuza nusu nyingine kwa benki.

    Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Sudan, Hazem Abdelgadir alitangaza benki iko tayari kuanza kukubali maombi yoyote kutoka kwa makampuni, watu binafsi, na biashara ya kuuza nje dhahabu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako