Mwanya wa kibiasra ni tofauti kati ya dhamani ya bidhaa nchi inzouza nje na zile inazoagizia.
Gavana wa benki kuu ya Rwanda John Rwangombwa amesema mwanya huo ulipungua kwa dola milioni 296 na hivyo kupunguza shinikizo kwa sarafu ya Franc dhidi ya sarafu za kigeni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |