Mechi za leo ni kati ya Borussia Dortmund na Monaco, huku mechi nyingine ni kati ya Barcelona na Juventus. Mechi za kesho ni kati ya Atletico Madrid na Leicester City na nyingine ni Bayern Munich na mabingwa watetezi Real Madrid.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |