Kwa ushindi huo, Man U sasa iko kwenye nafasi ya 5 ya msimamo wa ligi hiyo wakiwa pointi 4 nyuma ya Manchester City.
Chelsea bado wanaongoza ligi hiyo wakiwa na tofauti ya pointi 4 dhidi ya Tottenham ambayo inashikilia nafasi ya pili.
Kwenye mechi iliyochezwa huko The Hawthorns, bao la dakika ya 46 la Roberto Firmino limewapa Loverpool ushindi dhidi ya Wet Bromwich Albion na kupaa hadi nafasi ya 3.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |