Arsenal walitangulia kufunga kwa Frikiki ya Alexis Sanchez na Middlesbrough kusawazisha kwa goli la Alvaro Negredo alieunganisha pasi ya Stewart Downing. Bao la ushindi la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil.
Ushindi huu ni wa 3 tu kwa Arsenal kwa mechi zao 9 zilizopita na umewarejesha nafasi ya 6 wakiwa Pointi 3 nyuma ya Man United.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |