Washirika wa Afrika Mashariki wamekubali kudumisha michango sawa kufadhili bajeti ya kambi hiyo.
Ripoti ya Baraza la Mawaziri wa EAC , uliofanyika mjini Arusha kutoka mwezi Machi 30 - Aprili 4, inaonyesha kuwa nchi wanachama wa nchi zengine isipokuwa ila Burundi waliidhinisha mpango huo.
Katika ripoti yao, wanachama wa jumuiya ya afrika mashariki wamependekeza vikwazo kwa wale watakosa kuchangia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |