• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Umoja wa Mataifa waeleza wasiwasi wake na mapigano makali yanayoendelea nchini Syria

    (GMT+08:00) 2017-04-28 17:55:41

    Naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu Stephen O'Brien ameeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa mapigano katika maeneo mbalimbali nchini Syria mwezi uliopita.

    Akizungumza kwenye mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Syrtia, O'Brien amesema mashambulizi dhidi ya vituo vya afya hayakubaliki na ni lazima yasimamishwe. Aidha, O'Brien amesema bado wanasubiri matokeo ya uchunguzi wa matumizi ya silaha za kemikali katika mji wa Khan Shaykhun mapema mwezi huu.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako