Real Madrid imeibuka na ushindi wa magoli 3-0, magoli yote yamefungwa na Christiano Ronaldo katika dakika ya 10, 73 na 89. Hii ni hat trick ya 42 kwa mchezaji huyo kufunga akiwa anachezea timu yake ya Real Madrid.
Timu hizo zitarudiana Mei 10 katika uwanja wa Vicente Calderon Madrid. Mechi ya pili ya nusu fainali inapigwa leo kati ya AS Monaco dhidi ya Juventus.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |