Chama cha En Marche cha Ufaransa kinachoongozwa na mgombea rais Emmanuel Macron kinakadiriwa kushinda viti vingi kwenye uchaguzi wa bunge la nchi hiyo utakaofanyika Juni mwaka huu. Uchunguzi uliofanywa na OpininonWay na SLPV unakadiria kuwa chama cha En Marche kinaweza kushinda uchaguzi huo kwa kupata viti 289 kati ya vyote 577 vya bunge.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |