Juventus leo watawakaribisha AS Monaco mjini Turin kucheza mechi ya pili ya nusu fainali, katika mechi ya kwanza iliyochezwa wiki iliyopita, Juventus waliinyuka AS Monaco jumla ya goli 2-0 katika mechi iliyochezwa Monaco.
Mshindi wa mechi hii atakumbana na mshindi wa mechi nyingine ya nusu fainali kati ya Atletico Madrid na Real Madrid. Kesho kutakuwa na mtanange mwingine wa marudiano ya nusu fainali hizo kati ya Real Madrid na Atletico Madrid.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |