Katika mechi nyingine za wanawake zilizochezwa mwishoni mwa juma, Chase Amira iliicharaza timu ya Chuo Kikuu cha Nairobi mabao 6-0. Katika mechi za ligi za wanaume, timu ya Chuo Kikuu cha Kenyatta iliipiku timu ya chuo cha ufundi bao 1-0 huku Butali Sugar Warriors ikinyakua ushindi wa 2-1 dhidi ya Wazalendo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |