Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Hua Chunying amesema, waziri wa wizara hiyo Wang Yi atafanya ziara katika nchi za Mauritania, Cape Verde, Mali, na Cote d'Ivoire kuanzia tarehe 19 hadi 23 mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |