Rais Vladimir Putin wa Russia na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu, na kueleza nia yao ya kukuza uhusiano wa nchi hizo mbili. Viongozi hao wamesisitiza ulazima wa kushirikiana katika mapambano dhidi ya ugaidi, na pia wameahidi kuimarisha uratibu kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Ukraine.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |