Katibu mkuu mteule wa Shirika la afya duniani WHO Bw. Tedros Adhanom amesisitiza kuwa shirika hilo litaendelea kufuata sera ya kuwepo kwa China moja, na kushughulikia kwa hatua mwafaka masuala yanayohusiana na Taiwan kwa mujibu wa maazimio husika ya Umoja wa Mataifa na WHO. Bw. Tedros amesema ataendelea kuiongoza WHO kuimarisha ushirikiano na China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |