• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Umoja wa ulaya watoa dola milioni 200 kusaidia miradi ya kawiTanzania

    (GMT+08:00) 2017-05-25 18:51:30

    Umoja wa ulaya umeipa Tanzania dola milioni 200 za kuendeleza sekta yake ya kawi.

    Miradi ya usambazaji wa umeme chini ya ufadhili huo inatarajiwa kuwanufaisha wakaazi wa maeneo ya Kagera, Geita na Kigoma.

    Kiongozi wa EU nchini Tanzania Roeland Van de Geer, amesema kuwepo na kawi ya kutegemewa kutasaidia kupunguza umaskini na pia kuahidi msaada zaidi kwa maeneo mengine ya Tanzania.

    Matumizi ya kawi kwa mwaka kwa kila mtu nchini Tanzania ni kilowati 100 lakini usalishaji unasalia wa chini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako