Waziri mkuu wa zamani wa Ugiriki Bw. Lucas Papademos jana alijeruhiwa kidogo baada ya kifurushi kilichowekwa kwenye gari lake kulipuka katikati ya mji wa Athens, madereva wake pia walijeruhiwa katika tukio hilo. Bw. Papademos aliwahi kuwa waziri mkuu wa Ugiriki kuanzia mwaka 2011 hadi 2012.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |