Mkenya huyo mwenye umri wa miaka 18 aliweka muda wa dakika 18 sekunde 58.57 licha ya kuvaa vizuri kiatu chake cha mguu wa kulia katika raundi ya mwisho.
Beatrice Chepkoech alikuwa wa pili huku Ruth Jebet anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio hizo akimaliza wa tatu
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |