Mwenyekiti wa shirikisho la soka nchini Kenya, Nick Mwendwa, amethibitisha kuwa timu ya taifa ya Angola haitaweza kucheza mechi hiyo ya kirafiki dhidi ya Kenya, kwa sababu itakuwa nchini Ureno kwa mazoezi.
Hata hivyo, Harambee Stars itaweka kambi ya mazoezi kujiandaa kushiriki katika mashindano ya ukumbusho wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, yatakayoanza Juni mosi hadi 4 jijini Kigali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |