Guinea imemaliza ikiwa ya mwisho katika kundi A ilikuwa ikihitaji kushinda mechi yake dhidi ya Argentina ili kufufua matumaini yake ya kubaki kwenye mashindano hayo.
Guinea imepata pointi moja katika mashindano hayo baada ya kupata sare ya 1-1 dhidi ya England, kabla ya kukubali kichapo cha 3-0 toka kwa wenyeji Korea Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |