UNBS inachukua hatua hiyo baada ya malalamiko kutoka kwa wakaazi kwamba kuna bidhaa nyingi sokoni ambazo hazijafikia viwango vilivyowekwa.
Mkurungezi wa shirika hilo Ben Manyindo amesema jukumu lao kubwa ni kulinda raia na kuhakikisha wananunua bidhaa zenye ubora unaofaa.
Alisema ili kuzuia bidhaa gushi kuingia nchini humo, kunafaa kuwa na mipango kama vile ukaguzi wa kabla ya uagiziaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |