• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Toyota Kenya yakabiliwa na mashtaka kutoka kwa wateja wake

    (GMT+08:00) 2017-06-02 19:01:35

    Kampuni ya Toyota Kenya inakabiliwa na mashtaka kutoka kwa wateja wake wa malori na mabasi nchini humo ambao wameenda mahakamani kulalamikia hali duni ya magari walionunua kwa kampuni hiyo.

    Baadhi ya makamapuni ya mabasi ya uchukuzi yaliowasilisha mashataka yao dhidi ya Toyota ni pamoja na City Star Shuttle na Chania .

    Wanasema mabasi aina ya Hino yanakubwa na matatizo ya kimitambo miezi michache tu baada ya kuyanunua.

    Baadhi ya matatizo hayo ni pamoja na kukwama kwa injini na breki kukosa kufanya kazi.

    Bado kampuni hiyo haijatoa majibu kuhusu mashataka hayo .

    Kwenye mkataba wake wa mauzo Toyota Kenya inatoa hakikisho la magari yake kusaifir kwa angalau kilomita 100,000 bila matatizo makubwa ama kwa miezi 36.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako