• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda Chama cha Kimataifa cha Usafiri wa Anga  (IATA) imepitia mtazamo wa faida yake ya mwaka 2017

    (GMT+08:00) 2017-06-07 19:33:48
    Chama cha Kimataifa cha Usafiri wa Anga (IATA) imepitia mtazamo wa faida yake ya mwaka 2017, na inaonyesha faida ya dola bilioni 31.4, juu kutoka ya hapo awali iliyotabiriwa ambayo ni dola bilioni 29.8, ndege za afrika zimekadiriwa kuandikisha ukuaji wachini katika mapato.

    Ripoti ilionyesha kuwa ndege za Afrika, ikiwa ni pamoja na RwandAir, zinakadiriwa kujiandikisha kuongeza abiria zaidi ya asilimia 7.5, ambayo iko chini kidogo ikilinganishwa na ukuaji wa awali uliolengwa wa asilimia 7.9.

    Mkuu wa IATA, amebainisha kuwa bei ya juu ya mafuta na gharama za matengenezo bado ni changamoto kubwa katika ukuaji wa sekta hiyo.

    Aidha amesema gharama ya matengenezo iliongezeka katika robo ya kwanza.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako