Rais Xi Jinping wa China amewasili Astana, mji mkuu wa Kazakhstan na kuanza ziara rasmi nchini humo.
Akiwa nchini Kazakhstan, rais Xi anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa 17 wa baraza la wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya ushirikiano ya Shanghai SCO na ufunguzi wa maonesho ya kimataifa ya Astana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |