Kagame aliyasema hayo mjini Brussels nchini Ubelgiji wakati wa ufunguzi wa mkutano wa maendeleo ya ulaya.
Mkutano huo huandaliwa na Tume ya Ulaya ukileta pamoja jumuiya ya maendeleo duniani kubadilishana mawazo na uzoezu na pia kujadili maeneo mapya ya ushirikiano na kutafuta suluhu za changamoto za dunia.
Kagame alitoa wito wa kuwa na ushirikiano zaidi na kuheshiniana kati ya pande zote mbili.
Alisema maendeleo endelevu hunawiri kwenye mazingira ya siasa zuri na kuheshimu haki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |