Bodi ya Wakurugenzi ya TWB ilimtangaza Justine kuwa mkurugenzi mpya wa benki hiyo akiwa na wasifu wa kufanya kazi katika benki za kitaifa na kimataifa.
Aliyekuwa mkurugenzi wa benki hiyo kabla ya Justine, Margareth Chacha amestaafu.
Miongoni mwa changamoto zinazoikabili benki hiyo ni pamoja na ile iliyotajwa na Waziri Ummy Mwalimu (anayesimamia sekta ya jinsia) kuwa benki hiyo inatoza riba kubwa ya asilimia 19 wakati inapata fedha serikalini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |