Maana yake kwa ujumla, State wameshinda kwa michezo 4-1 na kuwa mabingwa rasmi. Awali walianza kushinda michezo mitatu mfululizo kabla ya Cavaliers kuamka na kushinda mmoja. Lakini jana ilionekana tena ni zamu ya States ambao waliongozwa na Kevid Durant na Stephen Curry.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |