Russia, ambao ndio mwenyeji wa fainali za kombe la Dunia za mwaka 2018, wataanza kucheza na New Zealand katika mechi ya kundi A itakayochezwa Saint Petersburg Stadium, Saint Petersburg.
Nchi nyingine 7 zinazoshiriki ni Germany, Portugal, Mexico, Cameroon, Chile na Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |