• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • COSAFA 2017: Tanzania yaanza vyema

    (GMT+08:00) 2017-06-26 09:18:44

    Tanzania imeanza vyema mashindano ya COSAFA 2017 huko Moruleng Afrika Kusini kwa kuifunga Malawi 2-0 katika mechi ya kundi A. Magoli ya Taifa Stars yalifungwa na Ramadhan Shiza Kichuya katika dakika ya 13 na 18.

    Kwenye mashindani hayo Tanzania ipo kundi A pamoja na Angola, Mauritius na Malawi. Na kundi B lina timu za Zimbabwe, Madagascar, Mozambique na Sychelles.

    Nchi nyingine wanachama wa COSAFA, Afrika Kusini, Swaziland, Botswana na Zambia wataanzia hatua ya robo fainali.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako