Wiki iliyopita, Yanga kupitia Katibu wake Mkuu, Charles Boniface Mkwasa ilitangaza rasmi kumuachia Niyonzima raia wa Rwanda kuendelea na maisha yake kutokana na kutaka dau kubwa.
Siku chache baada ya kauli hiyo, ikaonekana baadhi ya mashabiki wakichoma jezi za kiungo huyo Mnyarwanda wakionyesha hasira zao kutokana na uamuzi wake wa kuamua kuondoka na kwa kuwa ameanza mazungumzo na Simba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |