Harambee Starlets haijakutana na timu yoyote ya taifa tangu ilipopoteza dhidi ya Nigeria (4-0), Ghana (3-1) na Mali (3-1) katika mechi za makundi za Kombe la Afrika nchini Cameroon mwezi Novemba mwaka 2016.
Tanzania nayo imeporomoka kwa nafasi 6 hadi nafasi ya 112, huku Rwanda imeporomoka kwa nafasi 7 na kushika nafasi ya 115 duniani na Uganda imeshikana nafasi ya 119 duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |