Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa Kenya, watumiaji wa mitandao ya kijamii wametahadharishwa dhidi ya kueneza chuki na ukabila kupitia mitandao hiyo. Waziri wa Usalama wa ndani Bw. Joseph Nkaisery ametoa onyo kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atachukuliwa hatua.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |