Rais Xi Jinping wa China amemaliza shughuli mbalimbali katika mkoa wa utawala maalumu wa Hong Kong, na kurejea hapa Beijing tarehe 1 mchana.
Wakati alipokuwa mkoani Hongkong, rais Xi alihudhuria maadhimisho ya miaka 20 ya Hong Kong kurudi kwa China na hafla ya kuapishwa kwa Baraza la serikali ya awamu ya 5 ya mkoa huo, na alikutana na wakuu wa mkoa huo Bw. Tung Chee-hwa, Bw. Leung Chun-ying, Bibi Lam Cheng Yuet-ngor, viongozi wa idara mbalimbali za mkoa huo na watu kutoka sekta mbalimbali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |