• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wanajeshi zaidi ya 7,000 wa Uturuki wafutwa kazi kwa tuhuma za kushirikiana na kundi la harakati za Gulen

    (GMT+08:00) 2017-07-13 08:54:46

    Wizara ya ulinzi ya Uturuki imesema zaidi ya wanajeshi elfu saba wakiwemo majenerali 150, wamefukuzwa kazi kwa tuhuma za kushirikiana na kundi linaloongozwa na Fethullah Gulen. Serikali ya Uturuki imemshutumu kiongozi wa kidini Fethullah Gulen anayeishi Marekani, kuwa mpangaji wa jaribio lililoshindwa la mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea Julai 15 mwaka jana na kusababisha vifo vya watu 250, na kuliorodhesha kundi la Gulen kuwa kundi la kigaidi. Mpaka sasa watu wapatao laki 1.1 wamefutwa kazi serikalini kwa kuhusika na mapinduzi hayo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako