Serikali ya Kenya imeanza mchakato wa kutafuta kampuni itakayotekeleza mvumo wa kukusanya ada za utumiaji wa barabara.
Hatua hii inalenga kukusanya pesa kutoka kwa wenye magari ambazo baadaye zitatumika kukarabati barabara zinapoharibika.
Wizara ya fedha imesema kwenye taarifa kwamba sasa inatafuta kampuni ya kujenga vituo vya kukusanya ada hizo.
Serikali imechangua barabara na maeneo itakakoweka vituo hivyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |