David Saruni alitemwa nje ya mashindano hayo baada ya kubainika kuwa alikiuka mstari katika mbio za mita 400 kuruka viunzi kwenye mbio zinazoendelea uwanja wa Kasarani, jijini Nairobi.
Saruni alikuwa ameshinda mbio hizo kwa sekunde 52.69 kwenye awamu ya tatu lakini yote yakawa bure kwani waandalizi wanasema alivunja sheria ambapo mwanamichezo hafai kuingia mstari mwingine kabla ya muzunguko
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |