• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uganda: Hatua kubwa Uganda, na TZ kushirikiana kwa Huduma za Usafiri

    (GMT+08:00) 2017-07-17 19:59:01
    Biashara Uganda na Tanzania imepiga hatua kubwa zaidi baada ya kusaini Mkataba wa Maelewano (MoU) kwa ajili ya Ushirikiano na Uboreshaji wa Bandari na Huduma za Usafiri wa Reli.

    Mkataba huu utaona Uganda, ikitumia bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya kusafirisha mizigo yake.

    Uganda inaona gharama ya bandari ya Dar es Salaam ikiwa nafuu na nzuri kwa kusafirisha mizigo yake.

    Waziri wa Usafiri wa Uganda bw Bagiire Aggrey alisema jana wakati wa warsha ya kusainiwa kwa mkataba wamelewano, uamuzi huo uko kwa mstari wa mipango yao ya kuboresha biashara ya Waganda ndani na nje ya nchi.

    Kulingana na Bagiire, serikali ya Uganda ilipongeza jinsi Tanzania imeboresha bandari ya Dar es Salaam, ambayo inatoa ushirikiano mzuri kwa nchi zengine za Afrika Mashariki.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako