Wakati maadhimsho ya miaka 90 ya jeshi la ukombozi la China yanapokaribia, rais Xi Jinping wa China ametembelea maonesho ya maandalizi ya maadhimisho hayo, na kusisitiza kuwa Wachina wanahitaji kukumbuka historia iliyotukuka, kurithi jeni za ukombozi, kuhimiza shughuli muhimu zilizoanzishwa na mababu wa China kwenye kipindi kipya, na kufanya juhudi ili kulijenga jeshi la China kuwa la kiwango cha juu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |