Shirika la Fedha Duniani limeidhinisha utoaji wa $25 million kwa Rwanda kama sehemu ya mkopo wa $204 million (about Rwf159.7 bilioni) ambao uliidhinishwa mwezi Juni mwaka jana kuisaidia serikali kuweka viwango vya akiba ya nje juu.
Mkopo huo wa $204 million uliidhinishwa mwaka jana wakati serikali ilipokuwa na kupungua kwa bei za bidhaa nankuongezeka kwa uagizaji ,jambo ambalo limeathiri pakubwa mapato ya mauzo ya nje na kutia shinikizo katika akiba ya ubadilishanaji wa fedha za kigeni.
Fedha zilizotolewa mwezi Juni mwaka jana ni $72.09 milioni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |