Marekebisho ya ziada sita zitaanza kutekelezwa Januari 1, 2018 baada ya majaribio katika mashindano maalum ya kimataifa mwaka huu. Rwanda, ambayo iko chini ya Equator, inasema itafuata sheria zitakazoathiri ncha ya Kusini.
Kwa mujibu wa mkurugenzi wa kiufundi wa RRF, Tharissise Kamanda, sheria mpya zinahusiana na Scrum (Sheria 20) na kukabiliana / Ruck (Sheria ya 15 na 16) na yana lengo la kufanya mchezo rahisi kucheza na kuchezesha pamoja na kulinda wachezaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |