Timu ya Rwanda iliwasili nchini Kenya siku ya Alhamisi kabla ya michuano ya FIVB Africa Zone V Championships ambapo itachuana na Misri, Uganda na mabingwa watetesi wa Afrika mwaka 2015 Kenya katika uwanja wa Kasarani Nairobi.
Mashindano hayo ya siku tatu, ambayo pia yanatumika kufuzu kwa michuano ya bara, yanaanza siku ya Ijumaa (leo) na yataendelea hadi Jumapili. Timu mbili, pamoja na Kenya (bila kujali matokeo yake), yatafuzu kushiriki Kombe la Mataifa Afrika .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |