• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Gharama za maisha nchini China zapanda kwa asilimia 1.4 mwezi Julai
     

    (GMT+08:00) 2017-08-09 18:17:25
    Mamlaka ya Takwimu nchini China imesema, kiasharia cha bei ya bidhaa za matumizi nchini humo CPI kilipanda kwa asilimnia 1.4 mwezi Julai ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.

    Mamlaka hiyo imesema, kiwango hicho kilikuwa chini ya asilimia 1.5 ya mwezi Juni. Gharama za maisha kwa mwezi Julai ziliendelea kuwa tulivu, na bei ya vyakula ilishuka kwa asilimia 0.1. Bei ya mboga za majani iliongezeka kwa asilimia 7 baada ya kushuka kwa miezi mitano mfululizo.

    Ikilinganishwa na mwaka jana, bei ya chakula nchini China ilishuka kwa asilimia 1.1 mwezi Julai, huku bei ya bidhaa zisizo za chakula ikiongezeka kwa asilimia 2.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako