Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa, rais Hassan Rouhani wa nchi hiyo amewateua makamu watatu wa rais wa kike.
Makamu hao wa rais ni pamoja na Bibi Masoumeh Ebtekar, Laya Joneidi na Shahindokht Molaverdi ambao wanashughulikia mambo ya wanawake na familia, sheria na ushauri kwa rais kuhusu mambo ya ya raia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |