• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uzalishaji wa kahawa nchini Tanzania unatarajiwa kuongezeka mara mbili zaidi

    (GMT+08:00) 2017-08-14 19:27:04
    Uzalishaji wa kahawa nchini Tanzania unaweza ongezeka mara mbili zaidi katika kipindi cha miaka minne ikiwa mpango wa utekelezaji wa kuongeza ushindani wa wakulima wadogo wadogo unatekelezwa kwa ufanisi.

    Mpango wa miaka kumi uliozinduliwa mwaka 2011/2012 unalenga kuongeza uzalishaji wa kahawa ubora kutoka tani 50,000 kwa mwaka hadi tani 150,000 ifikapo mwaka wa 2020/2021.

    Mbali na kuongeza uzalishaji wa kahawa, mpango huu pia una lengo la kuongeza mapato na kuboresha maisha ya wakulima waliotawanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako