• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Sudan yasitisha uagizaji wa dawa kutoka nje ili kuhimiza maendeleo ya viwanda vya dawa

    (GMT+08:00) 2017-08-15 09:15:02

    Serikali ya Sudan imeamua kuhimiza matumizi ya dawa zilizotengenezwa nchini humo badala ya zile zilizoagizwa kutoka nje, kwa matumaini ya kustawisha sekta ya dawa ya ndani. Waziri wa afya wa nchi hiyo Bw. Bahar Garada amesema uamuzi huo unalenga kuhamasisha viwanda vya dawa vya ndani kwa njia ya kusitisha hatua kwa hatua uagizaji wa dawa kutoka nje. Takwimu zinaonesha kuwa Sudan inaagiza dawa zenye thamani ya dola milioni 200 za kimarekani kila mwaka, huku dawa zinazotengenezwa ndani zinachangia asilimia 40 ya mahitaji ya soko la ndani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako